SAFARI ZA KWENDA NJE KUTIBIWA SASA BASI!


Jengo la Kituo cha kisasa cha uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya binadamu lililojengwa mjini Dodoma



Zimekuwa zikitumika gharama nyingi sana watanzania kwenda kutibiwa nchi za nje lakini sasa itakuwa historia kwani MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA umejenga kituo cha kisasa cha uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya binadamu ambacho kimegharimu bilioni 36.



kituo hicho kimejengwa nje kidogo ya mji wa dodoma eneo la chuo kikuu cha dodoma!
kituo hicho kinatarajia kuanza kutoa huduma hizo mnamo January 2014

 
Share this article :

+ comments + 1 comments

October 30, 2015 at 9:05 AM

Kawaida tunayoiona nchi zilizoendelea ni kuwa na vituo vya aina hii vikiwa katika hospitali za vyuo vikuu. Kwa kuwa hiki hakipo kwenye Hospitali Kuu na ya Rufaa huenda safari za nje bado zitakuwepo kwa muda mrefu ujao.

Post a Comment

 
Support : Creating Website | Jordan Digital |
Copyright © 2011. MAWIO HALISI - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by jordan digital
Proudly powered by Blogger