HALI YA RAIS KIKWETE YAZIDI KUIMARIKA
Hali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ambaye alifanyiwa operesheni Jumamosi, inaendelea kuimarika na kuwa nzuri na jana, Jumapili, Novemba 9, 2014, alianza kufanya mazoezi ya kutembea.
Rais Kikwete ameanza kufanya mazoezi ya kutembea siku ya pili tu baada ya kufanyiwa operesheni ya tezi dume (prostrate) kwenye Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Baltimore, Maryland, Marekani
Post a Comment